Matthew 17:22-23

22 aSiku moja walipokuwa pamoja huko Galilaya, Isa akawaambia, “Mwana wa Adamu atasalitiwa na kutiwa mikononi mwa watu. 23 bNao watamuua, lakini siku ya tatu atafufuliwa.” Wanafunzi wakahuzunika sana.

Isa Na Petro Watoa Kodi Ya Hekalu

Copyright information for SwhKC